Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere akiwa ameshikilia jiwe la mpaka kati ya Tanzania na Zambia katika Kituo cha Forodha cha Mosi kilichopo Mkoani Rukwa, wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli mbalimbali za utendaji wa Mamlaka hiyo.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (mwenye tai nyekundu) akiwa akiangalia jiwe la mpaka kati ya Tanzania na Zambia katika Kituo cha Forodha cha Mosi kilichopo Mkoani Rukwa, wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli mbalimbali za utendaji wa Mamlaka hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...