Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere akiwa ameshikilia jiwe la mpaka kati ya Tanzania na Zambia katika Kituo cha Forodha cha Mosi kilichopo Mkoani Rukwa, wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli mbalimbali za utendaji wa Mamlaka hiyo.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (mwenye tai nyekundu) akiwa akiangalia jiwe la mpaka kati ya Tanzania na Zambia katika Kituo cha Forodha cha Mosi kilichopo Mkoani Rukwa, wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli mbalimbali za utendaji wa Mamlaka hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...