Mwanaharakati na Mzawa Kawe James Mwakibinga akizungumza na wakazi wa Kawe wakati walipokuwa wakitoa ombi lao kwa Rais Magufuli kupitia Waziri Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuingilia kati mgogoro wa kiwanja namba 196 kilichojengwa Msikiti ambapo mmoja ya mfanyabiashara mmoja  anataka kuubomoa Msikiti huo
 Katibu wa Msikiti huo akitoa tamko la Msikiti kutangaza kuwa hawakubaliani kamwe na maamuzi ya Mahakama kwa madai kuwa  haki aikutendeka katika utekelezwaji wa hukumu yao ya kutaka msikiti huo uvunjwe
Sehemu ya Waandishi wa Habari na Wakazi wa Kawe wakifatilia kwa Makini Mkutano wa Msikiti wa Kawe ukwamani kupinga kubomolewa Msikiti wao na Wafanyabiashara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...