Diwani wa Kata ya Mombo, Halima Mussa akizungumza jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa (wa pili kulia) wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya sekta ya ujenzi ikiwemo barabara katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Mombo ikiwemo stendi ya Mombo jana Jumatano Februari 14, 2018. Wa kwanza kulia ni Mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyan
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa (katikati) akiongozwa na Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani (wa pili kulia) na Diwani wa Kata ya Mombo, Halima Mussa (kushoto) kukagua kipande cha barabara kilichopo katika stendi ya Mombo ikiwa ni sehemu yake ya kukagua miradi ya barabara katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Tanga jana Jumatano Februari 14, 2018.
Diwani wa Kata ya Mombo iliyopo Korogwe Mkoani Tanga, Halima Mussa akimpa maelezo Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa (kulia) kuhusu kuharibika kwa mtaro wa kupitisha maji machavu na uchakavu wa miundombinu ya barabara katika eneo la soko lililopo katika stendi ya Mombo Wilayani Korogwe jana Jumatano Februari 14, 2018. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...