Wajasiriamali wanaojihusisha na uandaaji na uuzaji wa vitafunwa mbalimbali wakiendelea na shughuli yao hiyo kando ya kituo cha mabasi, Mbagala  jijini Dar es Salaam. Wateja wao wakubwa ni Madereva na Makondakta wa Daladala pamoja wapita njia.
 Mihogo au Chips dume ikiandaliwa tayari kwa kuuzwa kipande kimoja kwa Sh.200.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...