Wajasiriamali wanaojihusisha na uandaaji na uuzaji wa vitafunwa mbalimbali wakiendelea na shughuli yao hiyo kando ya kituo cha mabasi, Mbagala jijini Dar es Salaam. Wateja wao wakubwa ni Madereva na Makondakta wa Daladala pamoja wapita njia.
Mihogo au Chips dume ikiandaliwa tayari kwa kuuzwa kipande kimoja kwa Sh.200.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...