Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Dkt. Mary Mwanjelwa, Bungeni mjini Dodoma Februari 8, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 8, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Februari 8, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 8, 2018

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge, Murad Sadiq wa Mvomero (kulia), Suleiman Nchambi wa Kishapu (katikati) na Richard Ndassa wa Sumve kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 8, 2018.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...