Uongozi wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania ukitembelea bwawa linatumiwa kufundishia wanafunzi ufugaji wa samaki katika Chuo cha Kilimo, Mifugo na Maliasili (Canre), kilichopo Bonyokwa nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Anaye waongoza ni Mkuu wa Chuo hicho, Sylvester Nakara.
Mkurugenzi Mtendaji wa Myandao wa Kijani Kibichi Tanzania, Adam Nagamange akionesha kitabu alichotunga cha Wewe ni Bilionea wa Mtaji Sifuri, ambapo aliwaeleza wanafunzi na walimu wa Chuo cha Canre kuwa ili uondokane na umasikini jitahidi kukisoma kitabu hicho chenye mambo mengi muhimu ya kuyafuta hakika muda i mrefu utakuwa tajiri. Kwanza anza na Wazo, Uhusiano na Mawsiliano katika jamii ni muhimu, kusoma vitabu na kuhudhuria mafunzo mbalimbali, usisahau kuwa karibu na vyombo vya habari  pamoja na kufanya utafiti kwa yale yote unayotaka kuyafnya ili uwe na uhakika zaidi.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Canre, Dk. Aloyce Masanja akizungumza na uongozi wa Mkikita uliomtembelea na kutoa mafunzo kwa wanafunzi na walimu wa chuo hicho kuhusu faida za uwekezaji katika kilimo biashara. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mkikita, Dk. Kissui  Steven Kissui, Mkurugenzi Mtendaji wa Mkikita, Adam Ngamange na Mdau wa Mkikita, Richard
Uongozi wa Mkikita ukiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Chuo cha Canre
Uongozi wa Mkikita ukitembelea maeneo ya Chuo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...