Mbunge wa Mtela ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde ‘Kibajaj’ akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kinondoni Said Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO)
Mbunge wa Mtela ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde akihutubia wananchi wakati akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kinondoni Said Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam.
Naibu Spika wa Bunge Dk.Tulia Akson akimuombea kura Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Kinondoni Said Mtulia katika Mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya Msingi Tandale jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Kamba akimuombea kura mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Kinondoni Saidi Maulidi Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya shule ye msingi Tandale jijini Dar es Salaam

Mbunge wa Mtela ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde ‘Kibajaj’ akipanda jukwaani kumnadi mgombea ubunge wa CCM Said Mauli Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika Viwanja vya shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam
Wananchi wakishangilia kwa hamasa wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa CCM uliofanyika leo katika viwanja vya shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...