Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akielekea kukagua mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Namanga wilaya ya Longido mkoa wa Arusha.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akipata maelezo kutoka kwa Ofisa wa TRA aliyeko katika kituo cha Huduma za Pamoja Mipakani (OSBC) Paul Kamkulu kuhusu huduma zinazotolewa katika kituo hicho kilichopo eneo la Namanga mpaka wa Tanzania na Kenya.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akipata maelezo kutoka kwa mkurugenzi msaidizi Upimaji vijijini wa wizara Huruma Lugalla (wa pili kulia) wakati akikagua mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Namanga wilaya ya Longido mkoa wa Arusha.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akitoa maelekezo kwa ujumbe alioambatana nao wakati wa kukagua mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Namanga wilaya ya Longido mkoa wa Arusha.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akiwa amemshika Ngamia aliyemkuta eneo la mpaka wa Tanzania na Kenya wakati alipokuenda kukagua mpaka baina ya Tanzania na Kenya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...