Mfanyabiashara maarufu mkoani Kigoma, Carole P. Mtei amefariki tarehe 04/02/2018 katika hospitali ya Rabininsia, Tegeta jijini Dar es salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya maradhi yaliyokuwa ykimsumbua.
Mwili wa Marehemu Mtei unatarajiwa kuagwa leo Alhamisi 08/02/2018 katika Hospitali ya Lugalo na baadaye kusafirishwa kwenda kijijini kwao Marangu, Moshi kwa Mazishi yatakayofanyika siku ya Jumamosi 10/02/2018. habari ziwafikie Ndugu, Jamaa na Marafiki wote wa Familia ya Mtei popote pale walipo.
Mwili wa Marehemu Mtei unatarajiwa kuagwa leo Alhamisi 08/02/2018 katika Hospitali ya Lugalo na baadaye kusafirishwa kwenda kijijini kwao Marangu, Moshi kwa Mazishi yatakayofanyika siku ya Jumamosi 10/02/2018. habari ziwafikie Ndugu, Jamaa na Marafiki wote wa Familia ya Mtei popote pale walipo.
Neno:
2 Timotheo 4: 7
Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda.
Mungu ailaze mahala pema roho ya Marehemu - Amin



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...