Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) waikatalia halmashauri ya wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma kukatisha mkataba wa ujenzi wa ofisi za halmashauri hiyo,Hii ni baada ya Baraza la madiwani la halmashauri hiyo kukubaliana kwa pamoja na kustisha mkataba. Wasema kama halmashauri itasitisha mkataba itabidi halmashauri iwalipe fidia TBA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...