Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga,akisafisha vikombo katika Barabara ya Morogoro Shekilango jijini Dar es Salaam.

Kijana akipima chupa za plastiki anazozikusanya  mtaani na kuziuza jijini Dar es Salaamu,kilo moja huuza kati ya shilingi 300 hadi 400. 

Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga, wakitembeza bidhaa zao wakati wakisaka wateja katika foleni ya magari, Barabara ya Morogoro,eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...