Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la barabara ya Tandahimba mjini, Mkoani Mtwara, yenye urefu wa kilomita tatu iliyojengwa kwa fedha za halmashauri leo Februari 28, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi la barabara ya Tandahimba mjini, Mkoani Mtwara yenye urefu wa kilomita tatu iliyojengwa kwa fedha za halmashauri leo Februari 28, 2018.

Wananchi wa Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza nao mara baada ya kuweka jiwe la msingi la barabara ya Tandahimba mjini, Mkoani Mtwara yenye urefu wa kilomita tatu iliyojengwa kwa fedha za halmashauri leo Februari 28, 2018. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...