Wafanyakazi wa Wizara za Nishati na Madini walioko Makao Makuu mjini Dodoma, leo Machi 8 wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Sherehe za Maadhimisho hayo zimefanyika ki-Mkoa katika Eneo la Msalato na kushirikisha Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika Binafsi na baadhi ya wanafunzi wa Shule mbalimbali.

Kaulimbiu ya Maadhimisho ya Sherehe hiyo Kitaifa, kwa Mwaka huu ni ‘Kuelekea Uchumi wa Viwanda, Tuimarishe Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji wa Wanawake Vijijini’.

Pichani ni matukio mbalimbali wakati wa maadhimisho hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...