Keki ya siku ya wanawake katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani.
Kwa mwaka huu kauli mbiu ni Kuelekea Uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa kijinsia na Uwezeshaji waWanawake Vijijini.
Wafanyakazi wanawake wa benki ya TIB banki corporate ltd  wa tawi la Samora wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kushehereka siku ya wanawake duniani.

 Siku ya Wanawake ilianza mwanzoni mwa miaka ya 1900 kwa kupitia wanawake wafanyakazi wa sekta ya viwanda nchini Marekani walioandamana kupinga mazingira duni ya kazi zao, walilalamikia ukosefu wa huduma za kijamii na kuwepo kwa vitendo vya unyanyasaji katika ajira.

 "Kwa mwaka huu kauli mbiu ni Kuelekea Uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa kijinsia na Uwezeshaji waWanawake Vijijini."
Mkurugenzi  mikopo wa benki ya TIB Corporate banki ltd, Adolphina william, meneja wa huduma kwa wateja Magreth Mulenga kwa pamoja na mteja wa benki hiyo wakikata keki kusheherekea wiki ya huduma kwa wateja katika benki yao.
Mkurugenzi wa hazina Bahati Minja akimlisha keki Mteja wa
benki ya TIB Corporate banki ltd ikiwa ni siku ya wanawake duinani ambayo hufanyika kila mwaka Machi nane.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...