Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ukandarasi ya BQ, Injinia John Bura (wa pili kutoka Kulia) akiwa amenyanyua Tuzo ya Ubora ya Kimataifa (ISO 9001:2015) Baada ya Kampuni yake kukidhi viwango vya Kimataifa, baada ya kukabidhiwa na Mkaguzi wa Ubora wa Mifumo ya Kimataifa  (AQC Midle East FZE), Alfred Lihasi (kushoto), katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Julias Nyerere, jijini Dar es salaam leo. Mengine pichani ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wakandarasi (CRB), Rhoben Nkori (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa Contractors Association of Tanzania, Injinia Lawrence Mwakyambiki.
Mwenyekiti wa Contractors Association of Tanzania, Injinia Lawrence Mwakyambiki (wa pili kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ukandarasi ya BQ, Injinia John Bura, Tuzo ya Ubora ya Kimataifa (ISO 9001:2015) kwa niaba ya Mkaguzi wa Ubora wa Mifumo ya Kimataifa (AQC Midle East FZE), Alfred Lihasi (kushoto). Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wakandarasi (CRB), Rhoben Nkori
Mkaguzi wa Ubora wa Mifumo ya Kimataifa (AQC Midle East FZE), Alfred Lihasi akiwasilisha mada katika mkutano wa Wakandarasi, uliofanyika
kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Julias Nyerere, jijini Dar es salaam leo
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ukandarasi ya BQ, Injinia John Bura wa pili kutoka Kulia akieleza manufaa ya Tuzo hiyo ya Ubora wa Kimataifa baada ya Kukabidhiwa. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wakandarasi (CRB), Rhoben Nkori Kushoto ni Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Ukandarasi ya BQ, Hilu Bura na Katikati ni Mtaalam wa Mawasiliano na Msaidizi wa Mkurugenzi wa Kampuni ya BQ Injinia Lorenco Simon.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...