MRADI wa bustani ya kisasa ya Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma umekamilika ,unatarajia kuanza kufanyakazi mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu.

Akizungumza na Ruvuma TV Afisa habari wa Manispaa Albano Midelo, amesema Mkandarasi tayari amekabidhi mradi huo kwa Manispaa. Bustani hiyo itakuwa na sehemuya Mgahawa,Maegesho ya Magari,kituo cha Utalii,sehemunya michezo ya watoto na huduma za choo, Kwa undani wa habari hii tizama video yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...