
MRADI wa bustani ya kisasa ya Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma umekamilika ,unatarajia kuanza kufanyakazi mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu.
Akizungumza na Ruvuma TV Afisa habari wa Manispaa Albano Midelo, amesema Mkandarasi tayari amekabidhi mradi huo kwa Manispaa. Bustani hiyo itakuwa na sehemuya Mgahawa,Maegesho ya Magari,kituo cha Utalii,sehemunya michezo ya watoto na huduma za choo, Kwa undani wa habari hii tizama video yake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...