Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama akishuhudia Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba akimkabidhi IGP Simon Sirro ripoti ya uchunguzi wa kuwekwa mawe na mchanga katika korosho ghafi iliyosafirishwa kwenda Vietnam mjini Dodoma leo Aprili 18.2018. Picha na Ofisi ya Waziri mkuu.
Home
Unlabelled
IGP akabidhiwa ripoti ya uchunguzi wa kuwekwa mawe na mchanga katika korosho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...