Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Robert Bundala, nje ya jengo la utawala bungeni mjini Dodoma leo Aprili 18, 2018. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Kilolo Mhe. Venance Mwamotona na watatu kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wasiyoona Tanzania(TLB), Jonas Lubago. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Home
Unlabelled
Waziri Mkuu Majaliwa akutana na Mwenyekiti Chama cha Wasioona Tanzania (TLB)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...