Mkuu wa mkoa wa Ruvuma CHRISTINA MNDEME amewaagiza viongozi wote wa halimashauri katika mkoa huo kuhakikisha kuwa wanawachukulia hutua wale wote wanaohusika kuwapa mimba watoto wa shule. 

 Hayo ameyabainisha wakati wa kujadili tathimini ya elimu baada ya kubainika wanafunzi wengi wanajiusisha na mapenzi na kupelekea mkoa huo kufanya vibaya katika matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2017.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...