Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mndeme ameifutia leseni kampuni ya Zuma Cargo kwa upotevu wa tani 15  za korosho ambazo hazijulikani ziliko na kuiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa wa Ruvuma kuhakikisha wanafanya uchunguzi wa jambo hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...