Sehemu ya Umati wa washiriki wa mbio mbali mbali katika 'Rotary Dar Marathon' wakiwa tayari kushuhudia washiriki wa mbio ndefu za kilometa 42.2 (42.2KM Marathon) walipokuwa wakianza mbio hizo mapema leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Kenyatta na Toure Drive, Masaki jijini Dar es salaam. Mbio hizo zilizohudhuliwa na watu mbali mbali zilikuwa ni zenye mvuto wa aina yake huku wakimbiaji wakionekana kuchuana vikali, huku kila mshiriki alionyesha uwepo wake wa hali ya juu pamoja na kuchelewa kwa takribaki saa mbili za kuanza kwa mbio hizo.
Washiriki wa mbio ndefu za kilometa 42.2 (42.2KM Marathon) wakianza kutimua mbio hizo mapema leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Kenyatta na Toure Drive, Masaki jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...