Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bw. Geoffrey Mwambe (aliyenyoosha mkono ukutani), wakati akipata ufafanuzi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongela (katikati) na Mkurugenzi wa Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Bw. Paul Rwegasha kwenye ukumbi wa mikutano wa Jengo la Tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA-TBIII).
DSC_2314
Mafundi (kulia juu ya mashine) wakiwa wanaendelea na ujenzi wa Jengo la Tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, wakati wa ziara ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongela na wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bw.Geoffrey Mwambe pamoja na msafara wao, leo walipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi huo.
DSC_2318
Mhandisi Barton Komba wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) anayesimamia mradi wa ujenzi wa Jengo la Tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA-TBIII), akielekeza jambo wakati wa ziara ya Wakurugenzi kutoka Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bw. Geoffrey Mwambe (wapili kushoto) na wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongela (watatu kulia) leo walipofanya ziara ya kuangalia maendeleo ya mradi huo.
 DSC_2343
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bw. Geoffrey Mwambe (alinyoosha mikono) leo akijaribu kueleza kwa vitendo katika ziara yake aliyoambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongela (watatu kushoto) walipotembelea ujenzi wa mradi unaoendelea wa Jengo la Tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, tayari ujenzi umefikia asilimia 82.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...