Bodaboda wachuuzi wa mkaa wanavyohatarisha usalama barabarani kwa kubeba mizigo kupita kiasi na kuhatarisha afya zao kwa kukaa juu ya tenki la mafuta kama wanavyoonekana katika picha tofauti, barabara ya Morogoro, eneo la Kibaha Mailimoja Dar es Salaam jana. Picha zote na Joseph Zablon
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...