Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. January Makamba akisalimiana na Mkurugenzi wa Mazingira toka Ofisi hiyo, Profesa. William Mwegoha alipotembelea eneo zinapojengwa Ofisi za Makamu wa Rais Muungano na Mazingira katika Mji wa Serikali Ihumwa jijini Dodoma leo tarehe 4, Desemba, 2018. Katikati ni Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Mhandisi Joseph Malongo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. January Makamba (katikati) akiteta jambo na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mussa Sima (kulia) na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Joseph Malongo wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya hatua za awali za ujenzi wa Ofisi za Makamu wa Rais zinazojengwa katika Mji wa Serikali Ihumwa jijini Dodoma leo tarehe 4, Desemba, 2018. 
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhandisi Joseph Malongo akimuonyesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. January Makamba (mwenyeshati ya njano) eneo lenye ukubwa wa ekari 8 katika Mji wa Serikali Ihumwa jijini Dodoma zinapojengwa Ofisi za Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira leo. Wapili kutoka kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mussa Sima.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. January Makamba akielezea jambo alipokuwa akitazama mandhari ya eneo linalojengwa Ofisi za Makamu wa Rais alipofanya ziara katika eneo hilo lililopo Ihumwa jijini Dodoma leo.
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira wakimskiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. January Makamba (hayupo pichani) wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya hatua za awali za ujenzi wa Ofisi za Makamu wa Rais zinazojengwa katika Mji wa Serikali Ihumwa jijini Dodoma leo tarehe 4, Desemba, 2018. 
Pichani kiwanja cha ukubwa wa ekari 8 ambacho panajengwa Ofisi za Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kikiwa kimefanyiwa usafi tayari kwa kuanza ujenzi wa ofisi hizo. (Picha na: Frank Shija - MAELEZO, Dodoma)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...