Wakazi  wa mkoa  Dar es Salaam na  baadhi  wageni  mbalimbali waliwasili kutoka mikoani kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya wakiwa kwenye pilipilika za kununua mahitaji mbalimbali kwenye Soko la Karikoo   leo. (Picha na Emmanuel Massaka, MMG)
 Wakazi  wa mkoa  Dar es Salaam na  baadhi  wageni  mbalimbali waliwasili kutoka mikoani kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya wakiwa kwenye pilipilika za kununua mahitaji mbalimbali kwenye Soko la Karikoo   leo.(Picha na Emmanuel Massaka, MMG)
 Sehemu ya umati wa watu uliofurika katika mtaa wa Congo katika soko kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam kwajili ya maandilizi ya Sikukuu za Chrismas na Mwaka Mpya wa 2019.
 Sehemu ya Wakazi wa Dar es Salaam wakichagua nguo na viatu  katika Mtaa wa Congo- Kariakoo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...