MBUNGE wa Viti Maalum wa Mkoa wa Mjini Mhe.Asha Abdalla Juma pamoja na Katibu wa UWT Wilaya ya Amani Ndugu Asha Mzee wakiwa wamebeba Komputa na Printer zenye Thamani ya Shilingi Milioni 1.5 zilizotolewa na Mbunge huyo.
MBUNGE wa Viti Maalum wa Mkoa wa Mjini Mhe.Asha Abdalla Juma (kushoto),akikabidhi Vitendea kazi kwa Katibu wa UWT Wilaya ya Amani Ndugu Asha Mzee ambavyo ni Komputa Moja na Printer Moja ya kisasa ya rangi vyenye thamani ya shilingi Milioni 1.5 Katibu wa UWT Wilaya ya Amani Ndugu Asha Mzee(kushoto).
KATIBU wa CCM Wilaya ya Amani Ali Salum Suleiman akitoa shukrani kwa Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa wa Mjini Mhe.Asha Abdalla Juma na kuahidi kuwa miongozo aliyotoa kupitia hotuba yake itafanyiwa kazi kwa Vitendo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...