Kamishina wa Operesheni na Mafunzo CP Liberatus Sabas wa pili kutoka kulia akiwa ameongozana na sacp Gemini S. Mushy ambaye ni Chief Instructor katika Chuo cha Polisi Moshi pamoja na wakufunzi wa mbinu za Medani baada ya kuwasili katika eneo la mafunzo liliopo Kilelepori wilayani Hai mkoani Kilimanjaro. 

Kamishina wa Opereshni na Mafunzo CP Liberatus Sabas, akisalimiana na wakufunzi wa kozi mbalimbali za Jeshi la Polisi waliopo eneo la kilelepori wilayani Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kuwasili kwa ajili ya kuongea na wanafunzi walioko hapo.

Kamishina wa Opereshni na Mafunzo CP Liberatus Sabas, akizungumza na wanafunzi wa kozi ya utunzaji wa silaha baada ya kuwasili eneo la kilelepori wilayani Hai mkoani Kilimanjaro. (PICHA NA JESHI LA POLISI).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...