Spika wa Bunge, Job Ndugai (Kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi kutoka Taasisi ya Kidini ya Kingdom leadership Network Tanzania (KLNT), Mhe. Ibrahim Kaduma alipomtembelea leo nyumbani kwake Kisasa Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (Kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi kutoka Taasisi ya Kidini ya Kingdom leadership Network Tanzania (KLNT), Mhe. Ibrahim Kaduma alipomtembelea leo nyumbani kwake Kisasa Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (Kushoto) akimsikiliza na Mwenyekiti wa Bodi kutoka Taasisi ya Kidini ya Kingdom leadership Network Tanzania (KLNT), Mhe. Ibrahim Kaduma alipomtembelea leo nyumbani kwake Kisasa Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na viongozi wakuu kutoka Taasisi ya Kidini ya Kingdom leadership Network Tanzania (KLNT), walioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi wa Taasisi hiyo Mhe. Ibrahim Kaduma, walipomtembelea leo nyumbani kwake Kisasa Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa tatu kulia) akiwa katika sala ya pamoja na viongozi wakuu kutoka Taasisi ya Kidini ya Kingdom leadership Network Tanzania (KLNT), walipomtembelea leo nyumbani kwake Kisasa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Job Ndugai (wanne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu kutoka Taasisi ya Kidini ya Kingdom leadership Network Tanzania (KLNT), walioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi wa Taasisi hiyo Mhe. Ibrahim Kaduma (wa tatu kulia), walipomtembelea leo nyumbani kwake Kisasa Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...