Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wanne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ulioongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agnes Kijazi (wanne kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa tatu kushoto ni Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Injinia. Atashasta Nditiye. Dkt. Kijazi alishinda nafasi ya Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la hali ya hewa Duniani (WMO) uchaguzi uliofanyika tarehe 13 Juni, 2019 Geneva, Switzerland.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agnes Kijazi alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Katikati ni Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Injinia. Atashasta Nditiye. Dkt. Kijazi alishinda nafasi ya Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la hali ya hewa Duniani (WMO) uchaguzi uliofanyika tarehe 13 Juni, 2019 Geneva, Switzerland.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agnes Kijazi (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Katikati ni Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Injinia. Atashasta Nditiye
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agnes Kijazi (kulia) na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Injinia. Atashasta Nditiye walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Dkt. Kijazi alishinda nafasi ya Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la hali ya hewa Duniani (WMO) uchaguzi uliofanyika tarehe 13 Juni, 2019 Geneva, Switzerland.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...