.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akimkabidhi mwenge wa Uhuru Mku wa Mkoa wa Pwani Muhandisi,Everist Ndikilo.(Picha na Emmanuel Massaka Mzichuzi Tv)
Mku wa Mkoa wa Pwani Muhandisi,Everist Ndikilo akimkabidhi mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga.(Picha na Emmanuel Massaka Mzichuzi Tv)
Mkuu wa Wilaya ya mkuranga, Filibeto Sanga akizungumza na wananchi wa kata ya Mwandege waliojitokeza kuupokea mwenge wa uhuru leo.
Kiongozi wa Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2019 Mzee Mkongea Ally (katikati)akizungumza na wananchi kata ya Mwandege mkoa wa Pwani leo mara baada ya kufungua kiwanda cha kuchata samaki (ABAJUCO LTD) kulia Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga,na (kushoto)Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mbunge wa jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega
Naibu Waziri wa Mifungo na Uvuvi na Mbunge wa Mkuranga,Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa waliojotokeza kwa wingi kuupokea Mwenge wa Uhuru.
Kiongozi wa Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2019 Mzee Mkongea Ally akiwa ameambatana na bviongozi mbalimbali wakikaguwa maenso mbalimbali ya kiwanda cha kuchata samaki (ABAJUCO LTD)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...