Mkuu wa wilaya ya Arumeru amefanya ukaguzi wa nane wa mradi wa maji wa Bilioni 8 * katika Halmashauri ya wilaya ya *Arusha, ambapo amewataka wakandarasi kuhakikisha mradi huo wa maji *unamalizika Haraka iwezekanavyo *
Dc Muro ambae ametembelea eneo la ujenzi wa pampu kubwa za kuchujia maji yenye Fluoride na kutembelea Tanki kubwa la kuhifadhi maji mbali na kufurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na wakandarasi amesema Muda wa utekelezaji wa mradi huo umekwisha na sasa ni zamu ya wananchi zaidi ya kaya elfu 50 kupata maji safi na salama na si vinginevyo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...