
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Aggrey & Clifford, Ibrahim Kyaruzi, akipokea tuzo kwa niaba ya kampuni kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Bankable Tanzania Limited Lawrence Mafuru (Kushoto)
Kampuni ya matangazo na ukuzaji masoko ya Aggrey & Clifford, kwa mara nyingine imepata tuzo kutokana na kuwa miongoni mwa makampuni 100 ya kati yanayofanya vizuri kibiashara.
Kampuni ya Aggrey & Clifford ambayo hivi karibuni ilisherehekea miaka kumi tangu kuanzishwa kwake, ilitunukiwa tuzo hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kwenye hafla fupi iliyofanyika Serena Hotel.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...