Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communication Limited (MCL), Bw. Francis Nanai, akiwahutubia washiriki wa kongamano la kwanza la Dar Business Expo 2019 lililofanyika leo katika hoteli ya Hyatt Kilimnjaro jijini Dar es salaam na kushirikisha wajasiriamali wa Ndani na nje ya jiji hilo


Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya NMB, Bw. Donatus Richard (kulia), akitoa mada katika kongamano hilo kulia kwake ni watoa mada wenzake


Washiriki wa Kongamano hilo wakisikiliza  mada zilizokuwa zikitolewa


Washiriki wa Kongamano hilo wakirekodi na kufuatilia   mada zilizokuwa zikitolewa
Waandaaji na watoa mada wa kongamano la kwanza la Dar Business Expo 2019 lililofanyika leo katika hoteli ya Hyatt Kilimnjaro jijini Dar es salaam

Picha ya pamoja ya waandaaji, watoa mada na washiriki wa kongamano la kwanza la Dar Business Expo 2019 lililofanyika leo katika hoteli ya Hyatt Kilimnjaro jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...