Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Joseph Sokoine akiwa katika kikao cha pamoja na Wageni kutoka  Sweden waliotembelea Ofisi ya Makamu wa Rais,  katika mji wa Serikali jijini Dodoma. Madhumuni ya ugeni huo ni kuelezea nia ya Kampuni ya ECO Sysytem International ya kusambaza teknolojia ya kisasa ya kupunguza uchafuzi wa hewa unaosababishwa na magari .
 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Catherine Bamwenzaki akiangalia mfano wa kifaa kitakachotumika kwa ajili ya kupunguza uchafuzi wa hewa unaosababishwa na magari ya aina yote anyemuangalia ni Injinia Julius Enock kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine akiwa katika picha ya pamoja na   Wajumbe Ofisi ya Makamu wa Rais, Wizara ya Mambo ya Nje pamoja na Mwekezaji kutoka Sweden waliohudhuria kikao hiko jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...