Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akikagua bidhaa mbalimbali za Sanaa na Utamaduni alipotembelea mabanda ya wajasiliamali wakati wa hafla ya kufunga Tamasha la 38 la Sanaa na Utamadani la Chuo cha Sanaa Bagamoyo lililofanyika chuoni hapo leo tarehe 26/10/2019 mjini Bagamoyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...