Wachezaji wa Polisi Tanzania wakiwa katika mazoezi uwanja wa Samora Iringa kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania dhidi ya Lipuli utakaochezwa kesho jumatano katika uwanja huo.
Wachezaji wa Polisi Tanzania Yassin Mustapha (kushoto) na Mohamed Mkopi wakiwa katika mazoezi uwanja wa Samora Iringa kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania dhidi ya Lipuli utakaochezwa kesho jumatano katika uwanja huo.
Wachezaji wa Polisi Tanzania Baraka Majogoro (kushoto) na Yassin Mustapha wakiwa katika mazoezi uwanja wa Samora Iringa kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania dhidi ya Lipuli utakaochezwa kesho jumatano katika uwanja huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...