Mtendaji Mkuu wa Mahakama Zanzibar Kai Bashir Mbaruk kulia akitiliana saini na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Advent Construction ltd Mkataba wa Ujenzi wa Mahakama Kuu Tunguu Mkoa Kusini Unguja hafla iliofanyika katika ukumbi wa Mahakama Kuu Vuga Zanzibar
Mtendaji Mkuu wa Mahakama Zanzibar Kai Bashir Mbaruk kulia wakibadilishana hati ya saini na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Advent Construction ltd Mkataba wa Ujenzi wa Mahakama Kuu Tunguu Mkoa Kusini Unguja hafla iliofanyika katika ukumbi wa Mahakama Kuu Vuga Zanzibar.
Waziri wa Katiba na Sheria Khamis Juma Maalim akitoa hotuba katika hafla ya utiliaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Mahakama Kuu Tunguu Mkoa Kusini Unguja ambayo itakayojengwa na Kampuni ya Advent Construction ltd hafla iliofanyika katika ukumbi wa Mahakama Kuu Vuga Zanzibar.
Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu akitoa hotuba
katika hafla ya utiliaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Mahakama Kuu
Tunguu Mkoa Kusini Unguja ambayo itakayojengwa na Kampuni ya Advent
Construction ltd hafla iliofanyika katika ukumbi wa Mahakama Kuu Vuga
Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...