Mgeni rasmi mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa Tabora, Katibu Tawala msaidizi anayeshughulikia Utawala, Hamisi Mkunga akizungumza na wananchi katika hafla ya uzinduzi wa duka la Vodacom mjini Tabora.
Mgeni rasmi mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa Tabora, Katibu Tawala msaidizi anayeshughulikia Utawala, Hamisi Mkunga akipata maelezo toka kwa wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom ndani ya duka 
Baadhi ya wateja wa kampuni ya Vodacom wakiendelea kupata huduma ndani ya duka jipya lililoko mjini Tabora 
Baadhi ya watumishi wa duka la Vodacom lililopo mjini Tabora wakifungua champagne wakati wa uzinduzi wa duka hilo.
Baadhi ya Watumishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania wakiwa katika maandamano ya amani wakati wa uzinduzi wa duka jipya la Vodacom mjini Tabora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...