Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas,
akifurahia jambo na wanafunzi wa shule za msingi waliokuja kumsalimia baada ya kumalizika kwa mkutano wake na wananchi zaidi amewapongeza kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kupunguza uhalifu kwenye makazi yao. (Picha na Jeshi la Polisi).

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas,
akisalimiana na wakazi wa Pasua Boma Mbuzi wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kumalizika kwa kikao chake na wananchi hao aliowapongeza kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika kupunguza uhalifu katika makazi yao. (Picha na Jeshi la Polisi).
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas
akizungumza na wakazi wa Pasua Boma Mbuzi wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro katika mkutano wake na wananchi juu ya kutatua matatizo madogo madogo huku akiwapongeza kwa kuhakikisha wamepunguza uhalifu kwenye makazi yao. (Picha na Jeshi la Polisi).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...