Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya wilaya ya Hai,Juma Massatu amesema wanachama 110 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliojitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Wenyeviti wa Mitaa, vijiji na vitongoji wamepita bila kupingwa.

Idadi hiyo ni Kati ya vitongoji 294 ambavyo wanachama wa vyama mbalimbali walijitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi hizo ambapo hawakuweza kuchukua na kurejesha fomu hizo.

Tayari Msimamizi huyo was uchaguzi amewatangaza rasmi wagombea hao kuwa ndio washindi katika vitongoji hivyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...