Picha ya pamoja
 Katibu MKuu wa CCM,Dkt Bashiru Ally akifafanua jambo mbele ya wageni wake (hawapo pichani),wakati wa Mazungumzi yao na Balozi wa China
Kikao kikiendelea

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally leo amefanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania Bi. Wang Ke ambapo ametaka fursa zinazotolewa kwa watanzania kusoma vyuo vya nje zijikite katika teknolojia ya uzalishaji.

Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Makao Makuu Dodoma pamoja na mambo mengine, yamelenga katika kupanua wigo wa ushirikiano ambapo Dkt. Bashiru ameleeza msimamo wa CCM kuhimiza zaidi kupatikana kwa fursa zenye tija kwa maendeleo ya viwanda hasa zinazolenga mafunzo ya vitendo katika kilimo, ufugaji na viwanda.

Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...