Kilele cha Fursa 2019 kinatarajia kufanyika kesho Desemba 7 kwenye ukumbi wa Julius Nyerere vConvetion Cente (JNICC) Dar Es Salaam
Katika semina hiyo ya fursa utasikia watu mbalimbali wakielezea mafanikio yao na namna walipoanzia na kupata mafanikio ikiwemo wasukuma mikokote mpaka wauza miguu ya kuku na mtengeneza kucha.
Dar ya ndoto itaendeshwa na Mkurugenzi wa fursa Suma Mwaitenda,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam Paul Makonda na Joseph Kusanga Mkurugenzi wa Clouds
Fursa 2019 ambayo imeletwa kwenu na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni-Brela, usichukulie poa nyumba ni choo, clouds, vijana think tank, tacaids, uhuru hospital, R ¥O Tours and Safarisô
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...