
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuzungumza
na baadhi ya Watalii wanaotembelea Mbuga za Serengeti Mkoani Mara
wakati alipokutana nao leo Disemba 22,2019. Makamu wa Rais yupo Wilayani
Serengeti Mkoani Mara kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka 60
ya kuanzishwa kwa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) yanayotarajiwa kufanyika kesho
katika Eneo la Fort Ikoma Serengeti Mkoani Mara.
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...