Leo Desemba 30/2019 Tanga Airport  tumempokea Mhe.Benjamin William  Mkapa, Rais mstaafu awamu ya tatu  ambaye amekuja nyumbani kusherehekea nasi mwaka mpya.

Mapokezi yameongozwa na Mhe.DC wilaya ya Muheza  , na kuhudhuriwa na  Kamati ya ulinzi na usalama mkoa na wilaya ya Tanga,  Kaimu Mkurugenzi Jiji la Tanga Ndg. Poss,  Mhe. Mkoba Mwenyekiti ccm wilaya,Ndg. Kidima Katibu ccm wilaya na Ndg. Kapange Katibu siasa na  uenezi  wilaya pamoja na wakuu was idara za serikali.

Lupakisyo Kapange
Katibu Siasa na Uenezi
Wilaya ya Tanga
Rais mstaafu wa awamu ya tatu,Mhe.Benjamini William Mkapa akipokewa na Mkuu wa Wilaya ya Muheza,Mhandisi Mwanaasha Tumbo mara baada ya kuwasili leo katika Uwanja wa Ndege mkoani Tanga.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...