Shabiki wa timu ya Simba na Manchester United na mkazi wa mkoa wa mkoa wa Dodoma, Fredrick Kimario ameshinda Sh 124,150,810 baada ya kubashiriki kwa usahihi jumla ya mechi 12 katika za mchezo wa kubahatisha wa Perfect 12 unaondeshwa na kampuni ya M-Bet Tanzania.
Kimario ambaye ameajiliwa katika kazi za kuuza duka anaifanya M-Bet kutumia zaidi ya Sh billion 3 kuzawadia washindi mbalimbali tokea kuanza kwa mwaka huu.
Meneja Masoko wa M-Bet, Allen Mushi amesema kampuni yao inazidi kupata washindi na Kimario anaaga mwaka kwa kishindo kwa kutwaa kitita hichi cha fedha.Mushi alisema kuwa kampuni yao inazidi kuwabadili maisha Watanzania na Kimario anakuwa mshindi wa 19 tokea kuanza kwa mwaka huu.
“M-Bet inazidi kuchanja mbuga na kuinua vipato vya Watanzania na kuchangia maendeleo ya nchi chini ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Dk John Pombe Joseph Magufuli. Nawaomba Watanzania kucheza ili kushinda zawadi za fedha na kubadili maisha yao, ” alisema Mushi.
Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa fedha zake, Kimario alisema kuwa alianza kubeti muda mrefu kabla ya kupata ushindi huo mnono.
Kimario alisena kuwa amekuwa akishinda fedha kiasi kisichopungua Sh400,000 na ushindi huu umemfanya kuanza kufikiria mambo makubwa zaidi kibiashara kwani kwa sasa ameajiliwa.
“Sikukata tamaa na kuendelea kubeti, niliamini kuwa siku moja nitapata bahati ya kushinda, nashukuru Mungu kupata kiasi hiki cha fedha na nitakaa na ndugu zangu kupanga jinsi ya kuanzisha biashara zangu,” alisema Kimario.
Alisema kuwa ndoto zake za kuwa mfanyabiashara zimetimia na anaahidi kuwa mfano wa kuigwa kwa washindi M-BET.
Kimario ambaye ameajiliwa katika kazi za kuuza duka anaifanya M-Bet kutumia zaidi ya Sh billion 3 kuzawadia washindi mbalimbali tokea kuanza kwa mwaka huu.
Meneja Masoko wa M-Bet, Allen Mushi amesema kampuni yao inazidi kupata washindi na Kimario anaaga mwaka kwa kishindo kwa kutwaa kitita hichi cha fedha.Mushi alisema kuwa kampuni yao inazidi kuwabadili maisha Watanzania na Kimario anakuwa mshindi wa 19 tokea kuanza kwa mwaka huu.
“M-Bet inazidi kuchanja mbuga na kuinua vipato vya Watanzania na kuchangia maendeleo ya nchi chini ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Dk John Pombe Joseph Magufuli. Nawaomba Watanzania kucheza ili kushinda zawadi za fedha na kubadili maisha yao, ” alisema Mushi.
Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa fedha zake, Kimario alisema kuwa alianza kubeti muda mrefu kabla ya kupata ushindi huo mnono.
Kimario alisena kuwa amekuwa akishinda fedha kiasi kisichopungua Sh400,000 na ushindi huu umemfanya kuanza kufikiria mambo makubwa zaidi kibiashara kwani kwa sasa ameajiliwa.
“Sikukata tamaa na kuendelea kubeti, niliamini kuwa siku moja nitapata bahati ya kushinda, nashukuru Mungu kupata kiasi hiki cha fedha na nitakaa na ndugu zangu kupanga jinsi ya kuanzisha biashara zangu,” alisema Kimario.
Alisema kuwa ndoto zake za kuwa mfanyabiashara zimetimia na anaahidi kuwa mfano wa kuigwa kwa washindi M-BET.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...