

Wananchi wakiwa wamefurika kwenye mnada unaofanyika katika viwanja vya biafra wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wakinunua mahitaji mbalimbali ,kama wanavyoonekana pichani hii imekuwa ni kawaida katika maeneo mbalimbali ya jiji . (picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)


Wakinamama wakiewa katika zoezi la kusagula sagula viwalo mbalimbalikatika mnada unaofanyika katika viwanja vya Biafra, wilaya ya Kinondini Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv).


Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kutafuta mahitaji yao mabalimbali katika mnada unaofanyika katika viwanja vya Biafra, wilaya ya Kinondini Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...