Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kinga
na Elimu ya Afya Juma Salum Mbwana akitoa hotuba ya ufunguzi wa kwa
Waandishi wa Habari kuhusiana na Maradhi ya Ebola ambapo kwa Tanzania
hakuna maradhi hayo hafla iliofanyika katika ukumbi wa Hospitali ya
wagonjwa wa Akili Kidongo chekundu Zanzibar.

Mkuu wa kitengo cha Elimu ya
Afya Zanzibar Halima Ali Khamis akitoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari
kuhusiana na Maradhi ya Ebola ambapo kwa Tanzania hakuna maradhi hayo
hafla iliofanyika katika ukumbi wa Hospitali ya wagonjwa wa Akili
Kidongo chekundu Zanzibar.

Msaidizi wa Mkuu wa Kitengo cha
Elimu ya Afya Abdulrahman Kwaza akitoa ufafanuzi baadhi ya maswala
katika mafunzo kwa Waandishi wa Habari kuhusiana na Maradhi ya Ebola
ambapo kwa Tanzania hakuna maradhi hayo hafla iliofanyika katika ukumbi
wa Hospitali ya wagonjwa wa Akili Kidongo chekundu Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...