Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kinga na Elimu ya Afya Juma Salum Mbwana akitoa hotuba ya ufunguzi wa kwa Waandishi wa Habari kuhusiana na Maradhi ya Ebola ambapo kwa Tanzania hakuna maradhi hayo hafla iliofanyika katika ukumbi wa Hospitali ya wagonjwa wa Akili Kidongo chekundu Zanzibar.
Mkuu wa kitengo cha Elimu ya Afya Zanzibar Halima Ali Khamis akitoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari  kuhusiana na Maradhi ya Ebola ambapo kwa Tanzania hakuna maradhi hayo hafla iliofanyika katika ukumbi wa Hospitali ya wagonjwa wa Akili Kidongo chekundu Zanzibar.

Msaidizi wa Mkuu wa Kitengo cha Elimu ya Afya Abdulrahman Kwaza akitoa ufafanuzi baadhi ya maswala katika mafunzo kwa Waandishi wa Habari kuhusiana na Maradhi ya Ebola ambapo kwa Tanzania hakuna maradhi hayo hafla iliofanyika katika ukumbi wa Hospitali ya wagonjwa wa Akili Kidongo chekundu Zanzibar.
 
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...