Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mndeme ameiomba benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania (TADB) kufungua tawi la benki hiyo katika mkoa huo pamoja na kuanzisha viwanda vya kuchakata mazao.
Mndeme amesema kuwepo kwa benki hiyo kutawasaidia wakulima wa mkoa huo kukopa pesa na kuziingiza katika kilimo na kuwainua kiuchumi na uwepo wa viwanda kutasaidia kuongeza mnyororo wa thamani pamoja na kutoa fulsa ya ajira kwa wanaruvuma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...