Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kufungua rasmi nyumba za Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Gereza la Ukonga jijini Dar es salaam kwenye sherehe ya kukabidhi nyumba hizo kwa Jeshi la Magereza leo Alhamisi Januari 23,2020.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na Mbunge wa Ilala Mhe. Mussa Hassan Zungu baada ya utepe kufungua rasmi nyumba za Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Gereza la Ukonga jijini Dar es salaam kwenye sherehe ya kukabidhi nyumba hizo kwa Jeshi la Magereza leo Alhamisi Januari 23,2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili eneo zilipojengwa nyumba za Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Gereza la Ukonga jijini Dar es salaam kwenye sherehe za kuzikabidhi nyumba hizo kwa Jeshi la Magereza leo Alhamisi Januari 23, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kufungua rasmi nyumba za Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Gereza la Ukonga jijini Dar es salaam kwenye sherehe ya kukabidhi nyumba hizo kwa Jeshi la Magereza leo Alhamisi Januari 23, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama ndani ya mojawapo ya nyumba za Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Gereza la Ukonga
jijini Dar es salaam kwenye sherehe ya kukabidhi nyumba hizo kwa Jeshi la Magereza leo Alhamisi Januari 23, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua baada ya kufungua rasmi nyumba za Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Gereza la Ukonga jijini Dar es salaam kwenye sherehe ya
kukabidhi nyumba hizo kwa Jeshi la Magereza leo Alhamisi Januari 23, 2020.

Nyumba za Maafisa na Askari Magereza zilizofunguliwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye sherehe ya kukabidhi nyumba hizo kwa Jeshi la Magereza leo Alhamisi Januari 23, 2020.

Kikundi cha Utamaduni cha JKT Kikitumbuiza wakati washerehe za kukabidhi Nyumba za Maafisa na Askari Magereza zilizofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye sherehe ya kukabidhi nyumba hizo Gereza la Ukonga jijini Dar es salaam Alhamisi Januari 23, 2020
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...