Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka
kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria nchini
Mhe. Ahmed Djellal kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam
leo jioni Jumanne Januari 14,
2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka
kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani nchini Mhe.
Regina Hess kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo
jioni Jumanne Januari 14, 2020

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...